wavuti.weebly.com
  • Front
  • News blog
  • Scholarship links
  • Job links
  • Blog roll

Maiti za wanywa gongo kuchapwa viboko 6 kabla ya maziko

15/11/2009

 
Kiongozi mmoja nchini Uganda ameamuru maiti za watu waliokufa kwa kubwia kileo cha kienyeji maarufu kwa jina 'waragi' zitandikwe viboko sita kabla ya kushushwa kuelekea kuzimu.

Kiongozi huyo amesema hii itakuwa fundisho kwa wanywaji wengine wa waragi kujua thamani ya uhai na hivyo kutia adabu na heshima.

Kiongozi huyo kwa jina Edwin Komakech ametoa amri hiyo alipokuwa akizungumza katika mkutano huko wilayani Amuru, yapata umbali wa kilomita 350 kutoka mji mkuu wa Uganda, Kampala.

Inasemekana baadhi ya watengenezaji wa 'waragi' wamekuwa wakichanganya sumu katika kinywaji hicho ambacho kwa Tanzania kinafahamika kwa jina la 'gongo' au 'piwa' ama 'ulanzi' na Kenya wamekipa jina 'chang'aa'.

Polisi nchini humo wameanza uchunguzi kubaini watu wanao-mix waragi brew na poison na kusababisha watu kudedi.

Comments are closed.
    Picture
    Get professional advise for a Tanzanian or UK visa. Contact T UK Visa consultancy, C: +255 222 139 502 or E: info@tukvisaconsultancy.co.tz

    Archives

    February 2014
    January 2014
    December 2013
    November 2013
    October 2013
    September 2013
    August 2013
    July 2013
    June 2013
    May 2013
    April 2013
    March 2013
    February 2013
    January 2013
    December 2012
    November 2012
    October 2012
    September 2012
    August 2012
    July 2012
    June 2012
    May 2012
    April 2012
    March 2012
    February 2012
    January 2012
    December 2011
    November 2011
    October 2011
    September 2011
    August 2011
    July 2011
    June 2011
    May 2011
    April 2011
    March 2011
    February 2011
    January 2011
    December 2010
    November 2010
    October 2010
    September 2010
    August 2010
    July 2010
    June 2010
    May 2010
    April 2010
    March 2010
    February 2010
    January 2010
    December 2009
    November 2009
    October 2009

    RSS Feed

    .
Powered by
✕