wavuti.weebly.com
  • Front
  • News blog
  • Scholarship links
  • Job links
  • Blog roll

"Ndoto zangu ni kumwajiri Obama" - Msikilize dogo huyu

31/3/2012

 
Mtoto Mdogo akiwakilisha ujumbe wake kwa Wananchi waliohudhuria katika Mkutano wa kufunga kampeni wa CHADEMA uliofanyika katika Kata ya Tengeru, Arumeru Mashariki.

Makala hii "Kila Awamu ina Rekodi ya Kuua" yahatarisha Raia Mwema kufungiwa

31/3/2012

 
Picture

Kila Awamu ina Rekodi ya Kuua 

Msomaji Raia

Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete…

KAMPENI za uchaguzi mdogo jimboni Arumeru Mashariki zitakumbukwa kwa mengi. Kuna rekodi muhimu zimewekwa na zitakumbukwa.

Kura za maoni zilirudiwa mara mbili ndani ya CCM. Pamoja na malalamiko ya wazi juu ya matumizi ya rushwa, Kamati Kuu ya CCM iliamua kurudiwa kwa uchaguzi huo na hatimaye mtuhumiwa mkuu wa utoaji rushwa akapitishwa na Kamati Kuu.

Mmoja wa wajumbe wa Kamati ambaye hakukubaliana na uteuzi amenukuliwa akisema kwa utani kuwa, “hatukuridhika na rushwa katika awamu ya kwanza, tukaagiza ahonge zaidi awamu ya pili ndipo apitishwe”.

Makeke ya TAKUKURU yalikoishia ni wao tu wanaweza kueleza. Kuna wasiwasi kuwa walipokuwa na makeke walikuwa hawajapata mgawo wao. Huwezi kuwa mjumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, kisha ukamkamata mjumbe mwenzako wa kamati hiyo.

Rekodi nyingine ilikuwa ni ya mapingamizi dhidi ya wagombea. CCM ilianzisha mtindo huo pale wagombea wake walipomwekea mgombea mwenzao kuwa si raia wa Tanzania. Pingamizi hili lilipuuzwa lakini likaibuliwa na CHADEMA kabla halijatupwa na kukatiwa rufaa mbele ya Tume ya Uchaguzi. Tume hiyo ililitupilia mbali japokuwa kuna maelfu ya Watanzania wananyimwa pasi ya kusafiria kwa sababu hiyo hiyo ya kuzaliwa nje ya nchi. Rekodi na ushahidi umewekwa kuwa, ukiwa ndani ya CCM lolote linawezekana.

Rekodi nyingine ni ya matumizi ya matusi katika kampeini. Chama cha Mapinduzi kiliasisi mtindo huo na CHADEMA kufuatia kwa njia ya kujibu vijembe na matusi hayo. Rais Mkapa atakumbukwa kwa kuzindua mtiririko huo wa matusi na vijembe vilivyochukua nafasi ya sera na mikakati. Enzi za CCM kukejeli kuwa vyama vya upinzani vinatumia matusi katika kampeini zimeisha. Ukienda mkutano wa CCM utajihisi uko mkutano wa wapinzani, na ukienda mkutano wa wapinzani, utadhani uko CCM  ya Nyerere. Watu wamehojiana kuhusu ndoa zao, sura zao, kazi zao, urefu wao na ufupi wao.

Rekodi kubwa zaidi ilikuwa ni ya tuhuma ya kifo cha hayati Baba wa Taifa. Kwamba, Serikali ya Awamu ya Tatu ilimlazimishia kifo Baba yetu wa Taifa. Kama ni kejeli au kijembe si hoja. Cha msingi rekodi imewekwa kuwa Baba wa Taifa alikufa na kifo chake kiliacha mashaka makubwa.

Wahenga husema “hakuna utawala usioua”. Yaelekea kila awamu ya Taifa letu imeua kitu fulani. Baba wa Taifa na Awamu yake ya Kwanza aliua ukoloni. Ni sahihi kuwa Baba wa Taifa alipanga, akaamua na kutekeleza mpango mahsusi wa kuua ukoloni mkongwe na hatimaye akajitahidi kuupa sumu ukoloni mamboleo.

Hata watoto wetu wanaojifunza historia na uraia wanalijua hilo, kuwa Rais Julius Kambarage Nyerere aliuua ukoloni, Tanzania ikawa huru. Tarehe, mwezi na mwaka vinajulikana. Tumesherehekea nusu karne hivi karibuni.

Awamu ya pili chini ya Mzee Ali Hassan Mwinyi ililiua Azimio la Arusha na Ujamaa wake. Azimio hili lilibeba matarajio ya usoni na mustakabali wa Watanzania. Azimio lilipouawa lilikufa na ndoto za Watanzania kujiletea maendeleo na kuwarejesha Watanzania mikononi mwa wakoloni mamboleo.

Kaburi lake liko Zanzibar lakini Watanzania hawakuruhusiwa kuweka matanga wala kupata siku za mapumziko ya maombolezo kitaifa. Mzee Mwinyi yuko hai hadi leo, historia inamhukumu akiwa hai, kuwa kwa mkono wake, Azimio la Arusha lilihukumiwa adhabu ya kifo bila rufaa.

Kifo cha Azimio la Arusha kilidhoofisha kinga ya mwili wa Taifa letu na kwa hiyo likaanza kushambuliwa na magonjwa ya ajabu kila wakati. Bila kinga madhubuti mwilini, taifa lilishambuliwa na dumuzi kila kona na maghala ya taifa yakaishiwa akiba yote.

Awamu ya tatu ilipoingia ilikuta Ikulu ni sawa na mahame au shamba la mahindi lililoshambuliwa na nyani wenye njaa.

Awamu ya tatu chini ya Benjamin Mkapa ilimuumiza muasisi wa Taifa letu. Muasisi wa Taifa letu ndiye muuaji wa ukoloni na fundi msanifu wa Azimio la Arusha. Mara kadhaa, Baba wa Taifa alisimama hadharani kuomboleza kifo cha Azimio la Arusha kwa uchungu na machozi. Hakuwahi kumaliza hotuba yoyote, iwe ya birthday au ya rambirambi za msiba fulani bila kuzungumzia Azimio la Arusha.

Mwalimu alienda kanisani na Azimio la Arusha, alisafiri ndani na nje akiwa nalo. Lilipouawa alipata kihoro kilichoharakisha kifo chake.

Alipopiga kelele, aliwakera watawala. Wakamnyima chakula, matibabu, usafiri na mawasiliano. Alipogoma kwenda hospitali ili afe haraka, walimlazimisha kwenda asipotaka kwenda. Waliondoa walinzi, madaktari na kimsingi wakazuia hata wageni wa kumtembelea. Alipolazwa hospitali hawakuwapa nafasi madakatari wake waeleze maendeleo ya matibabu yake. Watawala waligeuka madaktari wake na kuanza kueleza Watanzania kwa nini Mwalimu hawezi kupona badala ya kwa nini amewahi mno kufa. Walilia na kuweka viapo vya ajabu juu ya kaburi lake. Mwalimu aliwapenda upeo, wakamjibu kwa misumari kwenye jeneza lake.

Awamu ya nne imeanza kuua. Chini ya Jakaya Mrisho Kikwete, kisu kiko shingoni mwa CCM na kichwa chake kimeelekezwa kibra tayari kwa kuchinjwa. Katibu Mwenezi Nape Nnauye anashangilia kuwa anayechinjwa ni CHADEMA lakini anahitaji miwani ya aina nyingine kuliko aliyo nayo. Ni kudra za Mwenyezi tu zinazoweza kubadili mwendokasi wa CCM kufia mikononi mwa Kikwete. Aliingia madarakani kwa rushwa, rushwa hiyo ikaziba macho na masikio yake.

Mafisadi wakaweka kitanzi shingoni mwake. Akifurukuta wanavuta kamba, akikosa hewa wanalegeza, muafaka unapatikana. Kauli mbiu zote duniani ametumia kukipa chama uhai, imeshindikana. Aliingia kwa kasi mpya, nguvu mpya na ari mpya.

Masikio yalipoichoka akaja na “Maisha bora kwa kila Mtanzania”. Aliposhtukiwa, akapaka rangi kauli mbiu ya awali na kuja na “Kasi zaidi, nguvu zaidi na ari zaidi”. Chini ya utawala wake kila kitu kinawezekana na hapo hapo hakitendeki. Tanzania bila maralia inawezekana, Tanzania bila ukimwi inawezekana, Tanzania bila rushwa inawezekana, madarasa yenye kompyuta yanawezekana, taxi mpaka Mtwara inawezekana, na uchumi unaopaa bila kubadili hali za watu unawezekana.

Jamhuri yetu imejaa wanasiasa na watawala. Wanasiasa ambao Plato alidai wanapenda kuongoza lakini hawajui kuongoza. Jamhuri yetu ina watawala ambao sayansi ya siasa inasema hawapendi kugawana madaraka na watu wengine ingawa wakiondoka madarakani wanadai haki ya kugawana madaraka. Jamhuri yetu haina viongozi walio tayari kuongoza kwa mifano.

Tuna watawala wanaojiita viongozi lakini hawana usalama wakati wote na ndiyo maana wanatumia kila njia kubaki madarakani. Wako tayari kuiba, kuua, kudanganya, kutukana, kutisha na hata kufanya usanii, ili kubakia madarakani.

Kwa mtindo huu, tutarajie nini katika awamu ya tano ya Jamhuri yetu? Nini kitauawa katika awamu hiyo? Utaifa wetu? Taifa letu?

I don't believe that God exists!

31/3/2012

 
You've probably read this in one of those chain, fwd, forward, FWD emails. It still a good read today:

A man went to a barber shop to have his hair and his beard cut as usual. 

He began to have a good conversation with the barber who attended him. 

They talked about so many things and various subjects. 

Suddenly, they touched on the subject of God. 

The barber said: "Look man, I don't believe that God exists." 

"Why do you say that?" asked the customer. 

Well, it's so easy, you just have to go out in the street to realize that God does not exist. Oh, tell me, if God exists, would there be so many sick people? Would there be abandoned children? If God exists, there would be neither suffering nor pain, I can't think of loving a God who permits all of these things."

The customer thought for a moment, but he didn't respond because he did not want to start an argument. 

The barber finished his job and the customer left the shop. 

Just after he left the barber shop, he saw a man in the street with long hairs and a beard, very long, and it was long time since he had his hair cut. He looked dirty and unkept. The customer entered the barber shop again and he said to the barber: "You know what? Barbers do not exist." 

"How can you say they don't exist?" asked the surprised barber, and continued, "I am here and I am a barber. I have just worked on you!" 

"No!" the customer exclaimed. Barbers do not exist, because if they did, there would be no people with long hair and beard like that man who is outside there." 

"Barbers do exist, what happens if those people do not come to me" replied the Barber.

"Exactly!"- affirmed the customer. "That's the point! God does exist. What happens is people do not go to him or look for Him. That's why there's so much pain and suffering in the world." 

The 16 types of people on Facebook

31/3/2012

 
Picture

Kaanga kahawa chunguni - Kilimanjaro

31/3/2012

 
Picture
Wachagga hutumia chungu kilichotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi, kwa ajili ya kukaangia kahawa ambayo hutumika kama kinywaji mara nyingi nyakati za asubuhi. Kwa desturi za Wachagga, watu wazima tu ndiyo waliokunywa kahawa na si watoto, hata hivyo, kufuatia kushamiri kwa biashara ya kahawa, Wachagga wengi waliipeleka kahawa yao katika maduka ya ushirika ili kupata fedha kwa ajili ya kununulia mahitaji mengine. Kiasi kidogo tu ilibaki kwa matumizi ya nyumbani (picha: safari-experts.com)

How families can overcome difficult times

31/3/2012

 
When a family is in crisis, it is easy to become trapped beneath a mountain of problems. In order to crawl out from underneath that pain, there are choices and sacrifices that must be made. Dr. Phil offers suggestions for what families must do to survive a crisis and move forward.

Set blame aside.
This is not the time for finger pointing. Your energy needs to be focused on solving problems, not assigning blame. Feelings like anger and resentment need to be put aside so that the family can work together on fixing the problems at hand.

Prioritize your problems. 
When dealing with more than one family problem, tackle the most pressing issue first, and then move on to others. Surmounting one problem at a time is key to moving successfully through a crisis. 

Stand in others' shoes. 
During a highly emotional and tense time, it's easy to get lost in your own emotions and forget about other people. You need to imagine how each person involved in the situation is feeling to understand the whole problem and figure out the best solution.

Re-engineer the family unit.
If the family unit you have established for yourselves isn't working, you have to change the way you all operate. Does a parent give more attention to one child? Does one sibling communicate more than another? A shift in the family dynamic could be an important step toward healing.

Recognize that everyone's affected. 
What happens to one family member happens to the entire family. When you focus only on the person in need, you are dealing with half the situation. Be sure that everyone has the chance to talk about how they feel.

Don't get stuck in the past.
What's done is done. Instead of wasting time wishing you had handled things differently, start changing your behavior today and concentrate on your family's future. 

- Dr. Phil

Pamba yaTanzania haiwezi kufyonza damu? ya India, ndiyo! Hii nchi hii!?!?

31/3/2012

 
Picture

Tanzanian students denied visas for exchange visit to the UK

31/3/2012

 
The British government’s Border Agency has banned a school in Tanzania from going on an exchange visit to the UK even though the Sussex-based school encountered no problems when it visited its counterparts in Dar es Salaam.

The school’s headteacher, Jon Ford, said that despite raising thousands of pounds for the visit, it had been vetoed over fears the Tanzanian students would return home.

However, this is the first time in over six years of visits between the two schools that Tanzanian students have been refused visas.

Sixth formers from Imberhorne School in East Grinstead, Sussex have been involved in an exchange programme with the Minaki High School for Boys, which is near Dar es Salaam and had visited Tanzania last October.

Mr Ford said the refusal to allow the students in was allegedly due to their failure to provide sufficient evidence of economic or family ties to their country.

A spokesman from the UK Border Agency, which refused the applications, said: “Organisers of school trips must provide a range of information including the names of all children on the trip, a named adult carer for each child, details of where they are staying and confirmation of parental consent.

“Failure to provide any of the information required can result in applications being refused.”

The Sussex school have highlighted the case because of their concerns.

Read more: TheEastAfrican.co.ke

Kwenda na wakati, misemo nayo ibadilike: Asiye na mwana aeleke...

31/3/2012

 
Picture
picha via Mjengwablog.com

Ivy leagues Schools posts record low admission rates

31/3/2012

 
Some Ivy League schools are posting some of the lowest admission rates on record, this year. 

Harvard for example only accepted 2,032 of the 34,302 students who applied. That's a 5.9 percent acceptance rate, which is a record low for the school.

The New York Times reports, "Yale was also more selective this year. Its acceptance rate, 6.82 percent, was lower than the 7.35 percent admitted last year. Yale admitted 1,975 of its 28,974 applicants this year. Last year, the pool was smaller, with 27,282 students. An additional 1,001 students are on this year's waitlist. (If you've been waitlisted, here's a statistic: of the 996 waitlisted last year, Yale eventually accepted 103 of them.)

"At Princeton, the acceptance rate was 7.86 percent, a record low for the school. It offered admission to 2,095 students of the 26,664 who applied. Princeton officials called its applicant pool the second-largest in the university's history."

The Yale Daily News spoke to James Onwuachi, a college guidance counselor at Westminster Schools, a private school in Atlanta, who said the admission rates have been on their way down for years now.

"You couple the size of the high school age population that are seniors, along with the proliferation of online applications, and you expect that kind of selectivity," Onwuachi told the paper. "It's like an arms race."

CNN Money reports two Ivy Leagues actually saw their admission rate rise: Brown acceptted 9.6 percent of the applicants, while Columbia accepted 7.4 percent.

Source: npr.org

Aung San Suu Kyi huenda akakikalia kiti kikuu cha Myanmar

31/3/2012

 
Picture

Napenda sana stamina na ujasiri wa Aung San Suu Kyi.

Masumbufu anayopitia katika kupambana na vile anavyoviona kuwa ni vikwazo katika maisha yake na ya raia wengi wa Myanmar, kupanda, kushushwa na kisha kupanda tena katika taswira ya kitaifa na kimataifa, ananikumbusha njia inayokaribiana na ile ile aliyoipitia Nelson Mandela.

Ninaamini sana sasa ya kuwa mtu asipokata tamaa, hata umkwaze kiasi gani, nia ya mtu ikwia thabiti, hutamzuia kuitimiza. Unaweza sana kumzuia na kumchelewesha (pengine ukiwa na ukatili ukamwua) ila kamwe hutaiua azma yake. Na kama wapo wanaoamini katika roho kuzaliwa upya 'reincarnation' roho hiyo itarudi kwa namna nyingine, hadi itimize azma yake. Ndiyo maana upo msemo kuwa, utabana saaana lakini utachoka na kuachia!

Ni sawa na kuuzuia moto, yatakukuta mawili, ama ukuchome uungue au uamue kuuacha uunguze chochote utakachoweza kuunguza halafu uanze upya.  


Myanmar's former military rulers once despised Aung San Suu Kyi so much they would not speak her name.They vowed to "annihilate" her pro-democracy movement. They jailed and tortured her supporters. They locked the soft-spoken dissident in her own home for the better part of two decades, declaring her political career over.

But after an era tenaciously spent trying to silence their most prominent critic, Myanmar's army-backed leaders are now on the verge of an extraordinary turnaround - welcoming her into parliament.

On Sunday, this tiny village of thatched bamboo huts is expected to help vote the frail but intensely stalwart opposition leader into public office for the first time, raising the prospect she could win the presidency itself during the next ballot in 2015.

"She can change everything," said rice farmer Kyaw Win Sein, standing in a sea of green and yellow fields that swayed silently in the wind.

Read more: AP - Myanmar's Suu Kyi poised for public office  

Tuzo za Wanahabari Bora kwa Mwaka 2011

31/3/2012

 
Pongezi kwa wanahabari wote ambao majina yao yalipendekezwa kuwania tuzo mbalimbali za Wanahabari bora 2011.

Hongera kwa wote walishinda tuzo mbalimbali.

Zifuatazo ni baadhi tu ya picha za tukio hilo.

(credits: blogu ya Lukwangule kwa picha; blogu ya "Kamanda wa Matukio" Richard Mwaikenda kwa maelezo)
ORODHA YA WATEULE NA WASHINDI

TUZO YA MPIGA PICHA BORA
Wateule ni :   
1.      Abdallah Bakari – Mwananchi, Dar es Salaam
2.      Khalifan Said – The Guardian , Dar es Salaam
3.      Khamis Said Hamad – Uhuru, Dar es Salaam
Na Mshindi ni: Khamis Said Hamad kutoka gazeti la Uhuru,  Dar es Salaam . Picha iliyomfanya kuwa mshindi ilihusiana na mazishi ya watu waliopata ajali katika basi la  Delux.  
Atakayekabidhi zawadi ni: Aggrey Marealle, Mkurugenzi Mtendaji, Executive Solutions Limited. Kampuni hii inashughulika na masuala mbalimbali yanayohusiana na mambo ya habari.

TUZO YA MCHORAJI BORA WA VIBONZO
Wateule ni: 
1.      Said Michael –  Tanzania Daima, Dar es Salaam 
2.      Nathan Mpangala – Majira, Dar es Salaam
3.      Samuel Mwamkinga –The Citizen, Dar es Salaam
Na Mshindi ni: Nathan Mpangala wa gazeti la Majira, Dar es Salaam. Kibonzo kilichomfanya ashinde kinahusiana na jitihada za Wabunge kujiongezea posho huku wananchi wakiteseka.
Atakayekabidhi zawadi atakuwa ni Hellen Kijo Bisimba, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu. Mwaka 2008 alishinda Zawadi ya Mwanamke Jasiri iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani.

TUZO YA HABARI ZA UTAWALA BORA –MAGAZETI 
Wateule ni:
1.      Joseph Zablon  – Mwananachi , Dar es Salaam
2.      Neville Meena – Mwananchi , Dar es Salaam
3.      Fredrick Katulanda – Mwananchi, Dar es Salaam

Na Mshindi ni: Neville Meena kutoka gazeti la Mwananchi, Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi inasema “Tuhuma za Rushwa wizara ya Nishati na Madini”

Atakayekabidhi zawadi ni: Afisa Mtendaji Mkuu wa Serengeti breweries Limited. Serengeti wamekuwa mstari wa mbele kutoa misaada ya kijamii katika Nyanja za michezo, elimu, habari na hifadhi za taifa. Serengeti Breweries Limited pia ni wahisani wa EJAT.

TUZO YA HABARI ZA UTAWALA BORA – TELEVISHENI  
Wateule ni:
1.      Jamaly Said – TBC , Dar es Salaam
2.      Emmanuel Buholela – ITV, Dar es Salaam
Na Mshindi ni: Emmanuel Buholela, wa ITV, Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi ni “Migogoro ya Ardhi inayoweza kuleta uhasama katika jamii.
Atakayekabidhi zawadi ni: Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya EXIM. EXIM ni mojawapo ya benki ambazo zimekuwa zikitoa misaada kwa wanajamii. EXIM imeahidi kushirikiana na EJAT katika kuandaa Tuzo za mwaka ujao

TUZO YA HABARI ZA UTAWALA BORA –RADIO  
Wateule ni:
1.      Latifu Said Matimbwa  – TBC Taifa, Dar es Salaam
2.      Noel Thomson – Radio Afya , Mwanza
Na Mshindi ni: Noel Thomson wa Afya Radio – Mwanza. Habari iliyompa ushindi ni “Kutowajibika kwa viongozi na kusababisha hali mbaya ya choo shuleni
Atakayekabidhi Zawadi ni Ernest Sungura. Sungura ni Mkuu wa Mfuko wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF). TMF ni mfuko uliobuniwa kwa lengo la kuongeza ubora na uhuru katika vyombo vya habari hasa kwa kuweka mkazo katika habari za uchunguzi na habari zenye mvuto kwa jamii.

TUZO YA HABARI ZA MALARIA – MAGAZETI
Wateule ni:  
1.      Audax Mutiganzi – Rai – Bukoba
Na Mshindi ni: Audax Mutiganzi wa  gazeti la Rai, Bukoba. Habari iliyompa ushindi ni “Dawa ya Ukoko ilivyopunguza maambukizi ya malaria Bukoba
Atakayekabidhi Zawadi ni Rob Ainslie, Mkuu wa COMMIT, Commit ni mpango wa kupambana na Malaria nchini Tanzania. Mpango huu unafadhiliwa na Shirika la Maendeleo la USAID. Mpango huu pia ni washirika wa EJAT.

TUZO YA HABARI ZA MALARIA  – TELEVISHINI  
Hakuna Wateule, Hakuna Mshindi

TUZO YA HABARI ZA MALARIA  – RADIO
Wateule ni :
1. Noel Thomson – Afya Radio, Mwanza 
2.      Gervas Hubile – TBC Taifa, Dar es Salaam
Na Mshindi ni:  Gervas Hubile  wa TBC Taifa. Habari iliyompa ushindi ni “Ukubwa wa tatizo la malaria vijijini na namna ya kukabiliana nalo.”
Atakayekabidhi  Zawadi ni Andrew Rebold. Rebold ni Naibu Mkuu wa Timu ya Masuala ya Afya katika Shirika la Misaada la Marekani (USAID).

TUZO YA HABARI ZA MICHEZO NA UTAMADUNI – MAGAZETI 
Wateule ni:
1.      Abdallah Msuya – Daily News, Dar es Salaam
2.      Iman Mani – Daily News, Dar es Salaam
Na Mshindi ni Iman Mani wa Daily News, Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi ni “Staging community theatre challenges.”
Atakayekabidhi Zawadi ni Leonard Thadeo. Bw. Thadeo ni Mkurugenzi wa Michezo, wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.

TUZO YA HABARI ZA MICHEZO NA UTAMADUNI –TELEVISSHENI  
Wateule ni :
1.      Anuary Mkama – Mlimani TV, Dar es Salaam
Mshindi ni Anuary Mkama wa Mlimani TV, Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi ni  “Sababu za kuzorota mpira wa miguu mkoani Arusha.”
Atakayekabidhi Zawadi ni Dioniz Malinzi .Bw. Malinzi ni Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT).

TUZO YA HABARI ZA MICHEZO NA UTAMADUNI –RADIO 
Wateule ni:
1.      Adeladius Makwega – TBC Taifa , Dar es Salaam
2.      Dorice Kaunda –TBC Taifa, Dar es Salaam
3.      Abdallah Majura – Sport FM – Dodoma
Na Mshindi ni Abdallah Majura wa  Sport FM – Dodoma . Habari iliyompa ushindi ni “Tanzania kushindwa kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa miaka 30.”
Atakayekabidhi Zawadi ni Atakayekabidhi zawadi ni : Absalom Kibanda- Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF). Jukwaa hili linawaunganisha wahariri wapatao 85 kutoka vyombo vyote vya habari.

TUZO YA HABARI ZA WATU WENYE WENYE ULEMAVU – MAGAZETI  
Wateule ni: 
1.      David Azaria – Habari Leo – Mwanza
2.      David Azaria – Habari Leo –Mwanza (He had two stories which entered the final)
3.      Joas Kaijage – The Citizen – Kagera
Na Mshindi ni:  David Azaria wa Habari Leo, Mwanza. Habari iliyompa ushindi ni  “Albino alivyokataa kutoka hospitali kwa kuhofia kuuawa.”
Atakayekabidhi Zawadi ni:  Reginald Mengi. Mengi ni Mwenyekiti wa IPP Media. Pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT). MOAT piani washirika wa EJAT.   Bw. Mengi ni amekuwa akitoa misaada mingi kwa watu wenye ulemavu. Kwa sasa ni Mwenyekiti wa Mfuko wa Watu wenye Ulemavu Tanzania.

TUZO YA HABARI ZA WATU WENYE WENYE ULEMAVU – TELEVISHENI   

Wateule ni:
1.      Stanley Ganzel – TBC, Dar es Salaam
2.      Lekoko Piniel Ole Levilal – Channel 10, Dar es Salaam

Na Mshindi ni : Lekoko Piniel Ole Levilal  wa Channel 10, Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi ni  “Sababu za kuwatenga na kuwanyanyasa walemavu.”
Atakayekabidhi zawadi ni : Haika Mawala, Naibu  Afisa Mtendaji Mkuu wa  CCBRT. CCBRT  imekuwa ikijishughulisha na utoaji wa huduma ya afya  na huduma nyingine kwa watu wenye ulemavu.

TUZO YA HABARI ZA WATU WENYE WENYE ULEMAVU – RADIO   
Wateule ni :
1.      Mwamini Andrew – TBC Taifa , Dar es Salaam
2.      Tuma Dandi – Radio Mlimani , Dar es Salaam

Na Mshindi ni:  Tuma Dandi wa Radio Mlimani, Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi ni “Wagonjwa walemavu wa akili na mimba, ubakaji na ukimwi.”
Atakayekabidhi zawadi ni : Dk. Bohela Lunogelo,  Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Utafiti wa  Uchumi na masuala ya kijamii.

TUZO YA HABARI ZA JINSIA – MAGAZETI   
Wateule ni :
1.      Nasra Abdallah – Tanzania Daima, Dar es Salaam

Na Mshindi ni Nasra Abdallah wa Tanzania Daima, Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi ni “Kazi za ndani ndizo zilizonifikisha hapa nilipo.”
Atakayekabidhi  zawadi ni Bibi Mwanahamisi Salumu Singano kutoka Oxfam.

TUZO YA HABARI ZA JINSIA  – TELEVISHENI    
Hakuna Wateule, Hakuna Mshindi

TUZO YA HABARI ZA JINSIA  –RADIO
Hakuna Mteule, Hakuna Mshindi

TUZO YA HABARI ZA UKIMWI /VVU  – MAGAZETI 
Wateule ni: 
1.      Abdallah Bakari – Mwananchi , Dar es Salaam
2.      Elias Msuya – Mwananchi, Dar es Salaam
Na Mshindi ni: Elias Msuya wa  gazeti la Mwananchi, Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi ni “Sipati picha maisha haya ya ukimwi. Napiga moyo konde kuishi na ukimwi.”
Atakayekabidhi zawadi ni: Dr. Fatma Mrisho, Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Ukimwi (TACAIDS). Tume hii ndiyo inayotoa miongozo na mikakati kuhusu namna ya kupambana na ukimwi.

TUZO YA HABARI ZA UKIMWI /VVU  – TELEVISHENI  
Hakuna Wateule, Hakuna Mshindi

TUZO YA HABARI ZA UKIMWI /VVU  – RADIO  
Wateule ni:
1.      Rehab Fred – Radio Free Africa – Dar es Salaam
2.      Beatrice Nangawe – Sunrise Radio,  Arusha 
Na Mshindi ni: Beatrice Nangawe wa  Sunrise Radio, Arusha. Habari iliyompa ushindi ni “Ukimwi ni huu: jinsi biashara ya ukahaba inavyoshamiri wilayani Karatu na jamii isivyojali afya zao.”

Atakayekabidhi Zawadi ni: Ernest Shumashike- Mkurugenzi Mtendaji wa ECOPRINT. Ecoprint ndiye aliyechapa ratiba ya Sherehe za Utoaji wa Tuzo hizi na hotuba ya Katibu Mtendaji wa MCT. Amefanya hivyo bila malipo. Na maekuwa akifanya hivyo tangu 2009.

TUZO YA HABARI ZA AFYA  – MAGAZETI 
Wateule ni: 
1.      Fredy Azzah – Mwananchi, Dar es Salaam
2.      Sharifa Kalokola – The Citizen, dare s Salam
3.      Lilian Rugakingira – Mwananchi- Kagera

Na Mshindi ni: Sharifa Kalokola wa gazeti la The Citizen Newspaper, Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi ni  “ Abortion pills sold over the counter.”

Atakayekabidhi zawadi ni: Jaji Thomas Mihayo. Jaji Mihayo ni Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu Tanzania. Ni Rais wa Chama cha Majaji Wastaafu. Ni Mjumbe wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania. Ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Baraza la Habari Tanzania (MCT).

TUZO YA HABARI ZA AFYA – TELEVISHENI 
Hakuna Wateule, Hakuna Mshindi

TUZO YA HABARI ZA AFYA  – RADIO  
Wateule ni:
1.      Catherine Nchimbi – TBC Taifa, Dar es Salaam 
2.      Secilia Ndabigeze – Afya Radio- Mwanza
3.      Faraja John Sendegeya – Afya Radio – Mwanza

Na Mshindi ni: Secilia Ndabigize wa  Afya Radio, Mwanza. Habari iliyompa ushindi ni “Utoaji wa meno kwa watoto na mila na desturi zilizojengeka.”

Atakayetoa zawadi ni: Dr. Marina Njelekela. Dk. Njelekela ni Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili. Dk. Njelekela alipata umaarufu baada ya kuongoza chama cha Madaktari wanawake katika kampeni za kuwaelimisha watu na kupima kansa ya maziwa.

TUZO YA HABARI ZA MAZINGIRA  – MAGAZETI
Wateule ni: 
1.      Mary Mahundi – Mwananchi, Dar es Salaam
2.      Felix Mwakyembe – Raia Mwema, Mbeya
3.      Lucas Liganga – The Citizen, Dar es Salaam
Na Mshindi ni: Lucas Liganga wa gazeti la The Citizen, Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi ni: “Illegal fishing in Lake Victoria threatens to wipe out Nile Perch affecting jobs of hundreds of thousands of people.
Atakayekabidhi zawadi ni: Dk. Emmanuel Nchimbi (MB). Dk.  Emmanuel Nchimbi ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo. Kwa maana hiyo yeye ndiye waziri ambaye anahusika zaidi na masuala ya EJAT.

TUZO YA HABARI ZA MAZINGIRA  –TELEVISHENI 
Hakuna Wateule, Hakuna Mshindi


TUZO YA MAZINGIRA - RADIO 
Hakuna Wateule, Hakuna Mshindi

TUZO YA HABARI ZA UCHUMI NA BIASHARA – MAGAZETI  
Wateule ni:
1.      Happy Severine - Mtwara
2.      Polycarp Machira – The Citizen, Dar es Salaam 
3.      Edith Karlo – Mtanzania - Kigoma 

Na Mshindi ni: Polycarp Machira wa The Citizen, Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi ni  “Chinese show rae business acumen in Dar es Salaam

Atakayetoa Zawadi ni :  Afisa Mtendaji Mkuu wa FINCA.  Finca ni mmojawapo wa wahisani wa EJAT. Wao walidhamini Tuzo za Habari za Uchumi na Biashara. Finca imeanzisha mradi wake wa kuwatoa mikopo kwa wanawake vijijini kwa lengo la kuwawezesha wanajamii kiuchumi na katika masuala ya kujiptia huduma ya afya, elimu na huduma nyingine.

TUZO YA HABARI ZA UCHUMI NA BIASHARA – TELEVISHENI I  
Wateule ni:
1.      Aneth Andrew – TBC , Dar es Salaam

Na Mshindi ni: Aneth Andrew, wa  TBC, Dar es Salaam.  Habari iliyompa ushindi ni  “Faida za zao la zabibu na changamoto zinazowakabili wakulima.”
Atakayekabidhi Zawadi ni:  Afisa Mtendaji Mkuu wa Barclays Bank .

TUZO YA HABARI ZA UCHUMI NA BIASHARA – TELEVISHENI I  
Hakuna Wateule, Hakuna Mshindi

TUZO YA HABARI ZA ELIMU – MAGAZETI
Wateule ni:
     1.Frank Leonard – Habari Leo
     2.Erick Kabendera – The Citizen, Dar es Salaam
3.Angela Sebastian – Uhuru, Dar es Salaam

Na Mshindi ni: Erick Kabendera wa gazeti la The Citizen. Habari iliyompa ushindi ni “Wards Secondary Schools : A lost generation in science and technology.”

Atakayekabidhi zawadi ni:   Elizabeth Missokia, Mkurugenzi Mtendaji wa  wa  HakiElimu.   HakiElimu ni mshirika wa EJAT Partner.  HakiElimu inalenga kuleta usawa, ubora, haki za binadamu na demokrasia katika kuleta  magezi katika mfumo wa shule na sera za elimu.

TUZO YA HABARI ZA ELIMU – TELEVISHENI 
Wateule ni:
1.      Victoria Patrick – TBC, Dodoma
Na Mshindi ni: Victoria Patrick wa  TBC, Dodoma. Habari iliyompa ushindi ni “ Elimu ya watu wazima wasiojua kusoma na kuandika.”
Atakayekabishi zawadi ni : Sabasaba K. Moshingi, Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB). Benki ya Posta ni mojawapo ya wahisani wa EJAT.

TUZO YA HABARI ZA ELIMU -RADIO 
Wateule ni:
1.      Grace Kiondo- Zenj FM, Zanzibar
2.      Mwamini Andrew – TBC Taifa, Dar es Salaam
Na Mshindi ni:  Grace Kiondo  wa Zenj FM,  Zanzibar. Habari  iliyompa ushindi ni  “Watoto na changamoto za elimu.”

Atakeyekabidhi zawadi ni Prof. B. Killian.  Prof Killian ni Mkuu wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari , Chuo Kiku cha Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendajiwa Mlimani TV, Radio Mlimani and the Hill Observer.

TUZO YA HABARI ZA WATOTO –  MAGAZETI 
Wateule ni :
1.      Fredy Azzah –Mwananchi, Dar es Salaam
2.      Nashon Kennedy – Habari Leo, Mwanza

Na Mshindi ni: Nashon Kennedy wa Habari Leo, Mwanza. Habari iliyompa ushindi ni “Mtoto aliyeolewa na kukeketwa.”

Atakayekabidhi zawadi ni:  James Marenga kutoka Nola. Nola ni taasisi ambayo imekuwa ikitoa msaada wa kisheria na kutoa elimu ya sheria.

 TUZO YA HABARI ZA WATOTO  – TELEVISHENI  
Wateule ni :
1.      Anganile Mwakyanjala – TBC , Dar es Salaam
Na Mshindi ni:  Angenile Mwakyanjala wa TBC . Habari iliyompa ushindi ni “Matatizo ya Watoto wa Mitaani”

Atakayekabidhi zawadi ni:  Ussu Mallya Usu Mallya ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) .
TUZO YA HABARI ZA WATOTO - RADIO  
Wateule ni : 
1.      Mulhat Said- Chuchu Radio, Zanzibar
2.      Sempanga Zawadi Mchome – Sauti ya Injili - Kilimanjaro

Na Mshindi ni : Sempanga Zawadi Nchome wa Sauti ya Injili, Kilimanjaro  Habari iliyompa ushindi ni  “Watoto na viboko shuleni – Viendelee au vitolewe”

Atakayetoa Zawadi ni Johnson Mbwambo. Johnson Mbwambo ni Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira.

TUZO YA HABARI ZA HIFADHI ZA TAIFA – MAGAZETI    
Wateule ni:
       1. Iman Mani – Daily News, Dar es Salaam
       2. Joseph Zablon – Mwananchi, Dar es Salaam
3.      Paul James Sarwatt – Raia Mwema –Arusha
Na Mshindi ni: Paul James Sarwatt wa Raia Mwema . Habari iliyompa ushindi ni “Ufisadi Maliasili.”
Atakayekabidhi zawadi ni : Modestus Lilungulu, huyu  ni Mwenyekiti  wa Bodi ya Tanzania National Parks Authority (TANAPA).  TANAPA ni shirika linalojihusisha na uangalizi na udhibiti wa Mbuga za Taifa kwa ajili ya matumizi ya sasa na vizazi vijavyo.

TUZO YA HABARI ZA HIFADHI ZA TAIFA  – TELEVISHENI    
Hakuna Wateule, Hakuna Mshindi 

TUZO YA HABARI ZA HIFADHI ZA TAIFA  – RADIO    
Wateule  ni:
1.      Alex Magwiza – TBC Taifa , Dar es Salaam

Na Mshindi ni: lex Magwiza from TBC Taifa,  Dar es Salam. Habari iliyompa ushindi ni “Faida za hifadhi za Taifa- Mkomazi na Arusha kwa wananchi waishio jirani nazo.”
Atakayekabidhi zawadi :  Simon Kivamwo, Mwenyekiti wa Association of Journalists Against Aids (AJAAT). AJAAT is EJAT’s partner.

TUZO YA HABARI ZA UTALII WA NDANI – MAGAZETI 
Wateule ni: 
1.      Albano Midelo – Nipashe –Songea
2.      Monica Luwondo – The Guardian – Arusha
3.      Gordon Kalulunga – Mtanzania – Mbeya

Na Mshindi ni: Monica Luwondo wa the Guardian, Arusha. Habari iliyompa ushindi ni “ Wazawa wanavyobadilika na kuanza kutembelea vivutio vya ndani.”
The Presenter of the Award is: Dk. Marcelina Chijoriga, Mjumbe wa Bodi ya TANAPA.

TUZO YA HABARI ZA UTALII WA NDANI – TELEVISHENI  
Wateule ni:
1.      Cassius Mdami – Channel 10, Dar es Salaam
2.      Juma Nugaz – Clouds TV, Dar es Salaam
Na Mshindi ni:  Juma Nugaz wa  Clouds TV  Dar es Salaam . Habari iliyompa ushindi ni “Maisha na Utamaduni wa Wahadzabe.”

Atakayekabidhiwa Zawadi ni : Ananilea Nkya,  Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA). TAMWA ni mmojawapo wa washirika wa EJAT

TUZO YA HABARI ZA UTALII WA NDANI – RADIO  
Hakuna Wateule, Hakuna Mshindi 

TUZO YA HABARI ZA MAAFA NA MIGOGORO – MAGAZETI 
Wateule ni:
1.      Tom Masoba – The Citizen , Dar es Salaam
2.      Bernard James –  The Citizen , Dar es Salaam
3.      Daniel Mbega – The Citizen, Dar es Salaam
Na Mshindi ni is: Daniel Mbega from The Citizen, Dar es Salaam . Habari iliyompa ushindi ni: “Technical error to blame for land conflict in Kapunga Rice Project

Atakayekabidhi Zawadi ni : Afisa Mtendaji Mkuu wa Regalia Media Limited. Regalia Media Limited ni kampuni inayojihusisha na masuala ya habari na mahusiano ya jamii. Regalia Media Limited ni mojawapo ya Wahisani wa EJAT.

TUZO YA HABARI ZA MAAFA NA MIGOGORO – TELEVISHENI  
Hakuna Wateule, Hakuna Mshindi

TUZO YA HABARI ZA MAAFA NA MIGOGORO – RADIO  
Wateule ni :
1.      Joseph Burra – TBC- Taifa , Dar es Salaam
2.      Joseph Burra –TBC Taifa (Alikuwa na habari mbili zilizoingia fainali)

Na Mshindi ni: Joseph Burra wa TBC Taifa, Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi ni  “Ajali ya MV Spice Islander.”

 Atakayekabidhi Zawadi ni : Saleh Ali Mwinyikai, Katibu Mkuu, Wizara ya Habari na Utalii, Zanzibar

TUZO YA HABARI ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIA – MAGAZETI
Wateule ni:
1.      Bernard Lugongo –The Citizen, Dar es Salaam
2.      Bernard Lugongo–The Citizen (Alikuwa na habari mbili ambazo ziliingia fainali)

Na Mshindi ni : Bernard Lugongo wa gazeti la The Citizen, Dar es Salaam . Habari iliyompa  ushindi ni  “Biogas technology eases pains.”

Atakayekabidhi Zawadi ni Zuhura S. Muro. Zuhurani Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Kazi Service Limited. Kazi Service Limited ni kampuni ya ushauri katika masuala ya uongozi wa kimkakati na maendeleo ya rasilimali watu.

TUZO YA HABARI ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIA – TELEVISHENI  
 Hakuna Wateule , Hakuna Mshindi

TUZO YA HABARI ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIA – RADIO  
Wateule ni: 
1.      Abel Onesmo Mwende – Clouds FM, Dar es Salaam
Na Mshindi ni : Abel Onesmo Mwende wa Clouds FM, Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi ni “Teknolojia Mbalimbali zinazofanya nvyema ndani ya nje ya nchi.”
Atakayekabidhi Zawadi ni : Greyson Mutembei. Mutembei ni Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Sayansi (TASJA) TASJA ni Mshirika wa EJAT.

TUZO YA HABARI ZA MAWASILIANO – MAGAZETI 
Wateule ni:
1.      Rehema Mohamed – Majira – Dar es Salaam
2.      Neville Meena – Mwananachi – Dar es Salaam.

Na Mshindi ni: Neville Meena wa Mwananachi, Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi ni  “Kutanuka kwa matumizi ya simu za mkononi na huduma zinazopatikana.”
Atakayekabidhi Zawadi ni : Mama  Margret Munyaga, Mjumbe wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Zamani alikuwa ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga  (TCAA).

TUZO YA HABARI ZA MAWASILIANO – TELEVISHENI  
Hakuna Wateule, Hakuna Mshindi

TUZO YA HABARI ZENYE MVUTO MKUBWA KWA WATU  – MAGAZETI  (Hili kundi lilitokana na habari zilizowasilishwa kwenye kundi la wazi)
Wateule ni:
1.      Suzy Butondo – Mwananchi, Dar es Salaam
2.      Polycarp Machira – The Citizen , Dar es Salaam
Na Mshindi ni: Polycarp Machira wa gazeti la The Citizen , Dar es Salaam. Habari iliyompa ushindi ni “ Young people who are faced with hardship in life.”
Atakayekabidhi zawadi ni Athumani Rehani, Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii katika  Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.

MSHINDI WA JUMLA  
Wateule ni :
1.      Polycarp Macharia – The Citizen, Dar es Salaam
2.      Nevile Meena – Mwananchi , Dar es Salaam
3.      David Azaria – Habari Leo, Mwanza
4.      Joseph Bura – TBC Taifa

Na Mshindi ni : Neville Meena wa gazeti la Mwananchi. Alishinda katika Tuzo ya Habari za Utawla Bora na Tuzo ya Habari za Mawasiliano.

Atakayekabidhi Zawadi hii ni : Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Jakaya Mrisho Kikwete

TUZO YA MAISHA YA MAFANIKIO KATIKA TASNIA YA HABARI
Wateule ni:
1.      Edda Sanga
2.      Fili Karashani
3.      Ben Kiko
Na Mshindi ni: Fili Karashani

JOPO LA MAJAJI WA TUZO ZA EJAT 2011
1.      Bw.   Wencestalus Mushi  – Mwenyekiti
2.      Bw. Attilio Tagalile – Katibu
3.      Bibi  Pili Mtambalike-   Mjumbe 
4.      Bw. Yusph Omar Chunda – Mjumbe
5.      Bibi Pudenciana Temba – Mjumbe
6.      Bw.  Anaclet Rwegayura – Mjumbe  
7.      Bibi   Edda Sanga – Mjumbe 
8.      Bw.  Mwanzo Millinga- Mjumbe
9.      Bibi Bernadina Chahali – Mjumbe 

JOPO LA WATAALAM WALIOPENDEKEZA MAJINA YA WATEULE WA TUZO YA MAISHA YA MAFANIKIO KATIKA TASNIA YA HABARI
1.      Theophil Makunga – Chairperson
2.      Hamis Mzee – Secretary
3.      Lillian Kallaghe – Member
4.      Jenerali Ulimwengu – Member
5.      Joyce Mhaville – Member

Wanavyuo duniani washiriki mkutanowa hali ya hewa Tanzania

31/3/2012

 
Washiriki wa vyuo vikuu mbalimbali duniani, leo wameshiriki katika semina ya mabadiliko ya hali ya hewa.

Semina hiyo iliyoandaliwa na TMUN 2012 (Bunge Kivuli la Vijana wa Umoja Wa Mataifa) imefanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa ndani ya viwanja vya Bunge mjini Dodoma.

Zifuatazo ni picha zilizotumwa na Josephat Lukaza wa josephatlukaza.blogspot.com 

Zimebaki chache sana "kazi za wanaume" au "kazi za wanawake"

31/3/2012

 
Picture
picha toka TemekePamoja Blog
Tizama video ndipo ujiulize kama bado ipo mantiki kusema kauli za "hii ni kazi ya mwanaume" au "hizo ni kazi za wanawake", ikiwa hizo zinazoitwa "kazi za wanawake"  wanawake wenyewe hawazipati, ama "kazi za wanaume" na wenyewe wanaume hawa-qualify, il hali nyumbani kuna utegemezi wa watoto na jamaa wenye ulemavu au wazee.

Mipaka ya kazi hizi za makundi ya jinsi/jinsia imevunjwa tangu vita ya pili ya dunia pale mwanamke alipoachwa nyumbani ili kuitunza familia na mume akajiunga na jeshi kwenda kuipigania nchi yake. Muda mrefu ulipita wa kutegemea mume arudi ili aendelee kuleta chakula nyumbani, ama Serikali itoe cheki kwa ajili ya kujikimu, hatimaye ugumu wa maisha kutokana na gharama za bidhaa kupanda kulikosababishwa na vita, iliwabidi wanawake kuondoka majumbani na kuanza kujishughulisha kwa kile kilichozoeleka kuwa "kazi za wanaume". Nao wakaanza kujishughulisha viwandani. 

Taratibu baada ya wanawake kuanza kuzoea "zilizokuwa kazi za wanaume" nao wakaanza kudai halali yao. Taratibu na wanaume nao wakaanza kufanya shughuli "zilizozoeleka kuwa za wanawake", matokeo yake ni kama tunavyoyaona sasa katika baadhi ya nchi "zinazoitwa zilizoendelea" kwa wenye familia kupeana zamu za kushiriki majukumu yote ya ujenzi wa familia na ujenzi wa taifa. Hili si dhahiri kwa baadhi ya nchi zinazoitwa "zinazoendelea", lakini kutokana na ugumu wa maisha, mkumbo wa mabadiliko ya kutafuta haki na usawa wa kijinsia, tartibu mambo yanabadilika. 

Kazi ni kazi alimradi ni iwe ni halali, isiyovunja sheria na anayeifanya anaimudu, bila kujali jinsi/jinsia. Kikubwa uwezo!

9 best free software to convert video into different formats

31/3/2012

 
Here is a list of websites which offer free software to convert video from one format to another:

  1. Handbrake
  2. Freemake
  3. Video Converter
  4. Format Factory
  5. Any Video Converter
  6. Super Video Converter
  7. XMediaRecode 
  8. VLC (also a great video and audio player)

Wanaume wa makabila mbalimbali na lugha zao za faragha wakitaka...

31/3/2012

 
Mchagga: We mama Aika uko wapi? N'taacha!

Mkurya: “RaRa chini nikurenge!”

Mhaya: Mama Koku if you are ready twende tuka-perform

Mnyakyusa: Findu Fyangu we obhokela...

Mpare: Mama Foibe dhou nikakudenge

Mnyamwezi: Mama Nyanzo, twendege tukalimege Ilitonge!

Jaluo: Twendege tukasukumane

Maasai: Mama yeyoo nataka ile kitu inamesa mwensake.

Wasukuma : Nalikuchola mayu, kiyumbo mayu.

Jinsi ya kufungua pingu kwa kutumia waya bila ufunguo

31/3/2012

 
Kwa wale wanaoishi katika nchi zinazoruhusu watu binafsi kumiliki na kutuia pingu, ikiwa umepoteza ufunguo, unaweza kutumia waya kufungua pingu kama inavyoelekezwa kwenye video ifuatayo:

A beautiful heart

31/3/2012

 
This long time shared message may not make much sense to you right now if you haven't been in a situation like this. The closest you can get to it's full meaning is by understanding it in the head, but when you pass through the ups and downs of a relationship, then you'll understand it by not only the head, but the heart as well.

A beautiful heart

Picture
One day a young man was standing in the middle of town proclaiming that he had the most beautiful heart in the whole valley. A large crowd gathered and they all admired his heart, for it was perfect. There was not a mark or a flaw in it. Yes, they all agreed it truly was the most beautiful heart they had ever seen. The young man was very proud and boasted more loudly about his beautiful heart.

Suddenly, an old man appeared at the front of the crowd and said, “Why your heart is not nearly as beautiful as mine.” The crowd and the young man looked at the old man’s heart. It was beating strongly, but full of scars, it had places where pieces had been removed and other pieces put in, but they didn’t fit quite right and there were several jagged edges. In fact, in some places there were deep gouges where whole pieces were missing.

The people stared. How can he say his heart is more beautiful, they thought? The young man looked at the old man’s heart and saw its state and laughed. “You must be joking,” he said. “Compare your heart with mine, mine is perfect and yours is a mess of scars and tears.”

“Yes,” said the old man, “yours is perfect looking but I would never trade with you. You see, every scar represents a person to whom I have given my love. I tear out a piece of my heart and give it to them, and often they give me a piece of their heart which fits into the empty place In my heart, but because the pieces aren’t exact, I have some rough edges, which I cherish, because they remind me of love we shared. Sometimes I have given pieces of my heart away, and the other person hasn’t returned a piece of his heart to me. These are the empty gouges…giving love is taking a chance. Although these gouges are painful, they stay open, reminding me of the love I have for these people too, and I hope someday they may return and fill the space I have waiting. So now do you see what true beauty is?”

Taarifa habari TBC 30.03.2012

30/3/2012

 

Pasipoti ya kusafiria Tanzania ni laki sita? Jama!

30/3/2012

 
Ujumbe kupitia blogu ya Lady Jay Dee toka kwa David umenisababisha nijiulize kama Tanzania bila rushwa inawezeakana.

Ama kwa hakika kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, na penye taabu utafanya lolote potelea mbali matokeo yake!

Msaada wako Dada Jide

Msaada tafadhali:Habari yako Dada Jide? Pole sana na majukumu yako ya kila siku kuhakikisha unatuunganisha na jamii yetu kupitia blog yetu.

Nilikuwa naomba unisaidie kunipostia hii mambo kwenye blog ili wadau waweze kunisaidia maana nchi yetu kupata taarifa sahihi ni ngumu sana maana hata website zao hawaziupdate zinakuwa na information za miaka mitano iliopita mpaka leo.

Niko Manchester ninasoma.Mwaka jana mwishoni niliapply provisional licence  sasa passport yangu ilitakiwa kutuma kwa njia ya posta kwenye kwa mamlaka husika (DVLA).Niliwatumia wakaipata ila wakati wananitumia mi sikuipata.Niliwapa muda waitafute ila mwezi wa pili walinitumia barua kuwa passport yangu imepotea.

Nimeenda ubalozini kwetu ila wakaniambia nikiapply kupitia wao itachukua muda sana na mimi nina haraka nayo maana hata kupiga box nashindwa maana wanataka passport ndo wanipe kazi.Kibaya zaidi ilikuwa na sticker ya visa yangu.

Nimepata mtu bongo ila anadai nimpe laki sita ili niipate ndani ya wiki mbili.Ila kwa hio bei ni kubwa sana kwa passport ya Tanzania.

Nilikuwa naomba wadau wanisaidie nitumie njia gani rahisi na ya uhakika ya kuweza kuipata kwa haraka maana kwa huku nimeshafanya fingerprint na document zote ninazo pamoja na copy ya passport iliopotea.
Ni suala la kuiprocess tu huko ili itoke. 

Mdau wa blog.
David

Mnaweza pia kunijibu kunipita email yangu ambayo ni : david.a.munisi@student.shu.ac.uk

Edward Lowassa akimnadi Sioi Sumari kwa WaArumeru Mashariki

30/3/2012

 

Sura Yangu (haikuwa na alama) - Labalaa

30/3/2012

 
Yaani huko Kenya kuna eneo moja wanawake wamewalabua waume zao hadi wamezua gumzo ndani na nje ya nchi.

Kama kawaida kila jambo lina fursa ya kiujasiriamali. Ndiposa msanii "Labalaa" ametunga wimbo "Sura yangu" basi analalamika kwa mabalaa ya kulabuliwa hadi sura imeachwa na alama.

Kichapo kilipozidi akaomba msamaha anasema, "...naomba usinichape, nitafanya kila kitu, nitafua zako chupi, nitapiga hadi deki, nakuomba usinichape baby..." Anamaliza akiwaasa Wanaume wasikubali kupigwa kwa kuwa nao wana haki!

Msikilize Labalaa kwenye wimbo hapo.

Tanzania’s largest solar power project springs forward in Kigoma

30/3/2012

 
Tanzania’s got some of the best solar power potential in the world, and it’s starting to make use of that, while leapfrogging dirty energy options of the past (i.e. fossil fuels and nuclear energy). 

Tanzania is working on a solar power project which will put solar power on “45 secondary schools, 10 health centres, 120 dispensaries, municipal buildings and businesses across 25 village market centres currently without access to the electricity grid.”

Camco International, a global clean energy developer, and Rex Investment Limited (RIL), a solar power contractor based in Tanzania, were just awarded $4.7 million for this rural Tanzanian solar power project in the region of Kigoma.

“The contract was awarded by the Millennium Challenge Corporation (MCC), a US foreign aid agency which operates in Tanzania as the Millennium Challenge Account – Tanzania (MCA-T),” Camco notes. “As part of the project Camco will also work to encourage households in the region to install small-scale solar home systems (SHS) by advising communities on the collective purchase and installation of systems in bulk, thereby achieving significant economies of scale.”

While a modest 208kW in projected solar power capacity, this is the larges solar power project in the history of Tanzania and will be very important for this rural region.

Work is projected to begin on the project in May 2012 and should be done by July 2013.

Read more: click here (Planetsave)

Rather than saying this is too painful to let go, tell yourself...

29/3/2012

 
Picture

Six Steps to Stop Sex, affair and cheating

29/3/2012

 
“Breaking off an affair can be just as difficult as breaking up a marriage depending on if there are emotions involved and how long it has gone on,” said Stephany Alexander, CEO of womansavers.com, a website devoted to research on men and relationships with an extensive polling database. 

How do you get yourself out from an extramarital affair?

1."Cheating is a choice. It is up to ME to stop it. The longer I wait, the harder it will be."

This is the first thing you need to realise when you want to get yourself out from any extramarital affair. There is simply nothing to control you. Yes you cannot help wanting to meet this person after all you have become emotionally attached somehow, but whether or not you end up meeting him/her is definitely YOUR choice.You need to make a decision now. Do you want to stop cheating? The longer you keep cheating, the harder it is for you. Your spouse will (if s/he hasn't already) start to smell something not right, and start watching and investigating.

2. Keep it short and simple.     

“Don’t go into in-depth details about why the affair can’t continue. The simpler and cleaner the break-up is, the better,” Alexander said. Tina B. Tessina, 64, a Long Beach, Calif.-based psychotherapist and author of "The Commuter Marriage: Keep Your Relationship Close While You're Far Apart (Adams Media, April 2008)," agreed. “To end a workplace affair, be direct." She suggested these words: "‘I'm sorry, I never should have done this. It's my fault, but I'm ending it because I want to keep my marriage,’ or the boss is suspicious, or whatever. Take responsibility for having been irresponsible, allow the other person a chance to be angry with you." Whatever you do, don’t get into a prolonged conversation, evaluating who did what and why. Just end it.  “Resist the urge to explain why you are concluding the relationship,” said Paul F. Davis, author of “Adultery 101 and Breakthrough For A Broken Heart.”

3. Do it on your own time, not office time.   

“Tell them in person and in public area where a scene is less likely to take place. Do not break off the affair at the office,” Alexander said. Having it done privately without the peering eyes of the grapevine is the only way to end an affair. “And if possible, relocate your desk and work space out of sight from the person with whom you fell into the affair with. Perhaps relocate to another department,” added Davis.

4.Stop being selfish! Make it final.

  - Make a decision to either faithfully stay in your marriage or end it.
  - What’s done is done and giving the other person any hope is cruel. 

“Don’t allow your co-worker affair to think there will be a chance of getting back together,” Alexander said. Tessina added, “Do not waver, or you'll give your co-worker the idea that pleading, flirting, cajoling or, worse, hysterics will win you back. Cut off all contact outside work. No matter how well you do this, there may be repercussions, but being clear that it's over and there's no chance for re-starting will at least remove the idea that you can be coerced.” In fact, it’s not just the affair that you are ending, but the relationship in total. According to Mona Barbera, author of "Bring Yourself to Love: How Couples Can Turn Disconnection into Intimacy" said, “When you end an affair, make it clear to your affair partner that you are ending it completely, with no more friendship, e-mails, or lunches. Be consistent. If you waver, look inside yourself and find out why." 

It is very hard for you to choose between your spouse/partner/significant other and the person/people you cheat with, however, realise how selfish your action is toward BOTH partners.
  - To your spouse - it is not fair cheating on her/him no matter what your reason is.
  - To your secret lover - it is not easy having a secret relationship.

If you can't provide all of your heart to your secret lover, then leave before you break somebody else's heart even more.

5. Be kind but firm. 

Remember that you had something with this person, right or wrong, good or bad, and both of you carry the same level of responsibility. The breakup might come as a shock or a relief to your coworker, so give them time to be deal with it. But remember not to back peddle. “Office affairs and romantic relationships at work must be handled delicately and on a case by case basis. Ask the person to respect your privacy and interact only for work related purposes,” added Davis. “You want to move past this so you can keep your job and focus on your future career,” said Alexander.  

6. Take actions to move on.

If you choose to stay with your marriage then choose to WORK on it too. Start distancing yourself away from your other partner - start moving away physically and verbally first. You can't suddenly stop thinking of them - human nature says it's impossible. But once the physical and verbal contact is cut, the emotional attachment will soon follow. If your extramarital affair is with a work colleague, minimize contact to business related only. Start working on your marriage and start believing that YOU can be faithful to your partner/spouse.
<<Previous
    Picture
    Get professional advise for a Tanzanian or UK visa. Contact T UK Visa consultancy, C: +255 222 139 502 or E: info@tukvisaconsultancy.co.tz

    Archives

    February 2014
    January 2014
    December 2013
    November 2013
    October 2013
    September 2013
    August 2013
    July 2013
    June 2013
    May 2013
    April 2013
    March 2013
    February 2013
    January 2013
    December 2012
    November 2012
    October 2012
    September 2012
    August 2012
    July 2012
    June 2012
    May 2012
    April 2012
    March 2012
    February 2012
    January 2012
    December 2011
    November 2011
    October 2011
    September 2011
    August 2011
    July 2011
    June 2011
    May 2011
    April 2011
    March 2011
    February 2011
    January 2011
    December 2010
    November 2010
    October 2010
    September 2010
    August 2010
    July 2010
    June 2010
    May 2010
    April 2010
    March 2010
    February 2010
    January 2010
    December 2009
    November 2009
    October 2009

    RSS Feed

    .
Powered by
✕